kama una pepo binadamu usameheana ata we una madhaifu utamwacha uyo alafu utapata kituko show bora umwombe Mungu maana siamin kama utavumilia kuwa mwenyewe au umepata mchepuko maana nikama unalishabikia angalia mbele
kila mmoja akijua wajibu wake hakuna anaye mkumbusha mwenzake lakini uki taka hela yangu uitegemee we una jua mi uko kwenye magari natoka sangapi? ukitaka nukunyenyekee jua majukumu yako kama mume
kulalamika kuna watu awalidhika kila jambo analalamika, miezi sita inamaana ikifika miezi sita ya uchumba anaanza process za ndoa. kazi zote ntafanya na kwetu tumezoea kuamka mapema sana kuandaa chai ila maana ya kuwa mfanyakazi hakuna upendo kati ya mke na mume bali wanaishi tu kutimiza wajibu
naitaji mwanaume wa kuishi uchumba mpaka ndoa ndani ya miezi sita.
awe mrefu 6 awe mkristo awe na kazi alali inayoweza tunza familia.
kabila lolote asiwe dikteta ajue aneyeenda ishi naye ni mke na si mtumishi wake. asiwe mlalamishi pia naitaji nitakaye jenga upendo wetu sio wa majaribio. mi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.