mfano ungepewa taarifa kuwa amenunua mabasi au anajenga ghorofa
sometimes tuchukulie poa ,unadhani kwa kipind ulichokuw nae hakuwah kuwa moja ya furaha yako???
halafu sisi wanawake ndo tunaishiwa,mwanaume hajawah kuishiwa anakwama tu,mwanaume ni kichwa cha dunia labda aamue kuwa mjinga mjinga
sijawahi kuamin hiyo kitu mnayoita karma,
kwanza naamini dunia haina huruma na mtu yyt,labda kama hujapitia misoto ya maisha
mfano huyo binti pia unaweza kuta kuna jamaa alikuw anampenda sana akataka kuweka nia binti akamfungia kioo akawa na mwngne ambapo mtoa mada na yy ameingia kuweka tuta...
tuanze na akili yako,
neno mieI ndo nn??? mwanaume unakurupukaje halafu ishu ya situation ilitakiwa ajibu mhusika au na ww ulikuwepo.
la pili
utaratibu wa kupangiana kujibu nyuzi umeutoa wapi?
la mwisho
mwanaume mwenzako wakati anatengeneza hili jukwaa alikwambia uwe unafatilia wanaojaza...
Hey guys hope mko poaaa
Huyu mwanaume ambaye nipo nae kwenye mahusiano amenufukuzia almost miezi 3 muda huo namchunguza tabia zake.
Kidogo kidogo nikaanza kumzoea na hatimae nikampenda(ile kiukwel ukweli) duuu sijui nini kimetokea tumepishana kauli kidogo tu naona mwenzangu kabadilika.
Sioni...
watu wa jf mnajiona perfect sana kwa kila kitu ety,
jaman hili ni jukwaa ,mtu kama hana cha kujibu si asome kmya kmya apite kushoto
mtu anayekereka ilibidi awatafute maadmin wenyew walioruhusu hizi post kuonekana.
turudi kwenye topic ,mtoa mada nakushauri usimuulize wala kuonyesha sura ya...
mamiii,inaonyesha dhahir bado unampenda kaka wa watu ungekuw na aman ya kutosha hapo ulipo hata usingehangaika kupandisha uzi
yaan amekuacha siku si nyng tyr umeolewa ??????????,
still unampenda .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.