Ndugu Informer,
Mapendekezo yetu kwa Tanzania ni kuwa na mpango bora wa kuwaendeleza walimu walio makazini, kuchagua wanafunzi bora kujiunga na ualimu, mtaala bora, usimamizi wa walimu, ushiriki wa wazazi kusimamia maendeleo ya watoto shuleni na nyumbani na ubunifu wa utumiaji wa rasilimali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.