Recent content by Wizara ya Elimu

  1. Wizara ya Elimu

    JamiiForums Tanzania Taarifa kwa Umma kutoka Wizara ya Elimu

    Barua iliyosambazwa kuhusu kufungua Shule si sahihi ipuuzwe. Tunaomba Wadau wazingatie Kalenda ya Mihula ya Masomo kulingana na Waraka wa Elimu Namba 06 wa Mwaka 2025 ambao umeambatishwa.
  2. Wizara ya Elimu

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Elimu wekeni muongozo wa maombi (ya zawadi) ya machapisho bora ya watafiti katika website yenu kama alivyoahidi waziri Mkenda

    Asanteni kwa maoni. Mwongozo huo unapatikana katika tovuti ya Wizara www.moe.go.tz . Aidha tuna ambatisha mwongozo huo pamoja na maelezo kuhusu maoni yaliyotolewa. Tunawakaribisha kwa maoni na maelezo zaidi tafadhali wasiliana nasi kupitia baruapepe, elimumawasiliano@moe.go.tz au info@moe.go.tz
Back
Top Bottom