Wapinzani wasipende kunyambulisha maneno. Rais alitoa changamoto za serikali zote tena kwa mifano. Hakusema yeye wala chama chake wanataka serikali ipi. Ndo maana alihitimisha kwa kusema kazi wanayo wajumbe. Basi. Sasa wapinzani wanapoongea hayo ndo tuseme hawakuelewa au walikuwa makini...
Hayo ndiyo madhara ya kusikiliza kitu ili ubishane badala ya kuelewa ili utoe hoja. Kama kweli wapinzani wametoa kauli hizo wamedhihirisha kuwa ni mbumbumbu na watasubiri sana kupewa nchi. Rais alitoa faida na hasara za serikali 2 au 3 na mwisho akasema maamuzi wanayo wajumbe. Kwa hiyo ni kama...
Kwa vyovyote vile Simba walitaka kushinda ili wawe sehemu nzuri ktk msimamo wa ligi. Walikuwa na njaa ya ushindi. Ktk njaa ya ushindi yawezekana kuwa mtu busara ikamtoka akaishia kuongea kauli ambazo kimichezo hazipo.
Je ingekuwa penati wamepata Simba muda ule, Kibaden angelalamika kuwa ni...
Jk kafanya lipi jipya hapa bongo la kustahili kupewa hadhi hiyo? He is a failure and no where closer to that!
Sent from my BlackBerry 9000 using JamiiForums
Safi sana hapo mkuu umenena. Uhai wa mtu haulingani na rambirambi yoyote hasa linapotokea suala la watu kufa kwa uzembe wa mtu mwingine! Inauma sana na kibaya zaidi serikali hii haina wachapa kazi bali watu longolongo! Wakati mwingine huwa nasema tutajibu nini kwa Mungu siku akituuliza mbona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.