Recent content by Wisest Person

  1. Wisest Person

    JamiiForums Tanzania Ndoa: Taasisi inayopoteza mvuto haraka kwenye jamii

    Mkuu umeeleza vizur sipingani na wewe ni kweli kabisa nowadays taasisi hii ya ndoa imeonekana inapoteza Mvuto. Lkn according to your message nimefahamu watu wengi hawajui maana ya ndoa na kwann wanaoa/wanaolewa. Hili ni suala la kiroho kiasili na nitabase hapo hapo (rohoni) ndoa ni taasisi...
  2. Wisest Person

    JamiiForums Tanzania Mke wangu amenunua viwanja viwili bila kunishirikisha

    Fanya uchunguz wa kutosha kuhusu hilo suala mpaka upate ukweli wote na ujiridhishe.. Then, Kaa Chini na Mkeo, Muongee kiutuuzima akueleze kila kitu kwann kafanya yote aliyofanya?.. Kwa uchunguzi uliofanya na Majibu yake utajua kama amekueleza ukweli au kakudanganya. Then Muombe Mungu akuongoze...
  3. Wisest Person

    JamiiForums Tanzania Niko njia panda naombeni msaada

    Duh kama umeweza kumtoa Moyoni kabisa..Duh! Hapo hapana Mapenzi kabisa. Mwambie huyo Dada ukweli.. Utamuweka huru hatakama ni mchngu vipi ataumia kwa kitambo kdgo tu but baadae atazoea na atapona. "Hurt Me with a Truth but never Comfort Me with a Lie"
  4. Wisest Person

    JamiiForums Tanzania Nifanye nini hapa?

    Jipe Muda (space) kwanza utulie huku unafanya mambo yako kaanae mbali kwa Muda.. Then Fikiria kwa Makini toka Mlipoanza mpka mlipofika bila kumtetea Moyo wako unajua ukweli zaid ya huu ulioandika hapa pia ndio unajua kakuumiza kiasi gani.. Kisha Acha uoga Fanya maamuz sahihi. Tambua hili ukiwa...
Back
Top Bottom