Recent content by wiseruggy

  1. W

    Aliyekuwa Padre Kanisa Katoliki, Privatus Karugendo afunga ndoa!

    Unaweza kuacha upadre kama huduma (ministry) Lakini upadre kama alama ya sacrament ni alama isoyofutika. Kwahiyo anapotumia neno Padre hajakosea kwani hiyo nia alama yake na kudumu. Kwa wale wale wasiolewa mambo ya kanisa na taratibu zake bora Kitafuta kujua kuliko kujenga hoja tepetevu
  2. W

    Wanaume waliosoma seminari

    Waseminari ni waadilifu hulka ambayo watu wengi hapa Tanzania ni msamiati uliokufa. Ni wanyenyekevu hulka inayowafanya waweze kusikiliza wengine. Ni wachapa kazi hodari na viongozi mathubuti wasiotetereka kwenye maamuzi yao
  3. W

    Wanaume waliosoma seminari

    Waseminari ni waungwana kwasababu wamesoma falsafa na sakilogia ni wepesi kutambua mahitaji ya mwanamke. Lakini maisha ya seminary yanawafunisha kuwa wavumilivu kwahiyo wanaweza kuvumilia mapungufu ya wenzi wao. Pia wana hofu ya Mungu ambayo inawafanya wawe na hulka ya kuwathamini binadamu wenzao
  4. W

    Kweli ni sahihi kwa Mh. Nape kumuita Afisa usalama mpuuzi?

    Ni sahihi kabisa kwasababu mtu asiyejua ethics za kazi yake ni mpuuzi. Nafikiri huyo mwanausalama ni kihiyo tu hajui kazi yake
Back
Top Bottom