Kawaida yetu wabongo tunapenda kushadadia Mambo mabaya mabaya tu.
Sasa kwakua umefikia hatua ya kuandika uzi huu na kuuliza ama kuomba kupata mrejesho basi ujue Kuna heri huku TMT chini ya Sir Jeff and powerful mentorship crew.
Ukimya wetu unaonyesha commitment kubwa tulionayo sisi wanufaika...
Wala usidhani bonge la mmmmtuu... Au dingi flani ivi. Mshakaji tu kiana. Check ile picha alipost ONTARIO wakiwa watatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina ombi kwako mkuu ONTARIO.
Kwa wale ndugu zetu wawili waliopata ajali kule Tanga, naomba RESERVE nafasi mbili za free kwao ili wakipona siku yoyote waje kupata shule.
Namaanisha Kati ya 300 sisi wengine tuchangamkie 280
Ni namna ya kujenga upendo kwa rafiki zetu hawa.
Nionavyo Mimi.
Sent...
Sa si uongee na Ontario akugawie.
Maana unalalama lalama tuuuuu.
Mie hio buku 65 naona ela ya chumvi tu, hata Kama angekuwa na watu buku, ningetoa bila maswali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unadhani Ontario anafaida Saaaana si nawewe anzisha class lako upige pesa. Angesema dola mia si ndio ungezimia kabisa.
Uwe na moyo wa kukubali juhudi za watu.
Staki discussion.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kila Jambo Kuna majira yake. Na wakati kwa kila kusudi chini ya nchi.
Naamini hatujachelewa na hatutachelewa. Kuna kitu kinafanyika ndani ya mioyo yetu iliyojaa subira.
Tuendelee kujisomea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu mwenzenu kila saa mimacho kodo kodo JF.
Nasubiri updates, so far I know launching is tomorrow na Jangid plaza najua ipo A H Mwinyi Rd.
Sema sijui ofisi yetu ipo flow ipi? Muda wa uzinduzi?
Baada ya kupata tangazo hili la 2nd Sept. Nimevuta pumzi kwa taratibu nikaingia ndani ya nafsi yangu kwa vutulivu. Nikatafakari namna ya kutengeneza furaha katika forex.
Nikaona haitakuwa rahisi. Maana class hili si lelemama, ni lazma tukubali kulipa gharama. Gharama za kujitoa kwetu ambazo ni...
Unaonekana kuwa ni mtu wa kujikataa. Yaani unapenda kujisingizia mabaya tu. Mbaya zaidi una generalize..sisi wa mikoani. Assume Ontario angekuwa anaishi Kiteto.
Achana na meneno haya: yaani sisi...ona sisi...haya sio yetu....sisi wa hivihivi tu.
Kama mpambanaji tafuta njia yyte ili uipate hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.