Mnaosimamishaga pisi njiani na kuomba namba na mkapewa nisaidieni mwenzenu. Nimezoea wa restaurant na bar ambao nawakutaga wamekaa hapo kidogo inakuwaga rahisi mno. Lakini hisi za barabarani eti ukute inatembea uombe namba inakuaga ngumu aisee.
Tuletee proof na sio story za vijiweni magufuli alijiekea kinga coz kuna watu aliowatumbua walitaka kummaliza. Na wamefanikiwa na baada ya hapo wakataka waue image yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.