Kwani Hamkuambiwa anakuja kwa Masuala GANI? UA JUST wabongo tunapenda kujua kila kitu hadi visivyotuhusu??
Yapi yasiyotuhusu kuhusu Tz? ni upumbavu kufikiri kuwa Obama au Bush wanatulete misaada, tunapaswa kuelewa kuwa watu hawa wanatafuta masilahi ya ama nchi yao au wao binafsi, kinachoitwa...
Mtambo huo uwe na mikono, usiwe nayo, bado sio jambo la msingi, NANI ALIYEFUATA BOMU CHINA NA KUFANIKISHA ULIPUAJI????? Ndio swali lilopaswa kuulizwa na kujibiwa.
Ninahisi hujui cctv inavyofanya kazi, ni mara chache sana cctv system kutumia camera moja.
Key issue sio tukio lilirekodiwa vipi, ila ni nani aliyelipua bomu.
Kifo cha nyani miti yote huteleza,
ccm kimepoteza uhalali wa kuwepo madarakani (serikali sio ya Watz tena), sasa tunapaswa kuiondosha, na kuweka mbadala wake. Kusubiri 2015 yaweza kuwa ni kuruhusu mauaji zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.