Habari, mi niko Dar es salaam ila kwa masomo tu nasafiri mda wowote.
Makazi halisi ni Tanga korogwe, ila si mwenyeji sana kwasababu sijaishi sana huko.
Mi mwenyeji sana mkoa wa Mara musoma.
Natafuta rafiki wa kike mcheshi, mpenda utani na pia anaesikilizana na mwenzie.
Kwa mawasiliano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.