Recent content by William Mshumbusi

  1. William Mshumbusi

    Matola Aliwaambia wachezaji ukiona goli we piga tu. Au chenga wote kafunge. Hakuwa na plan yoyote ya attacking

    Mpanzu na Joshua mutale walifundishwa wakishika mpira wapenye safu ya azam na chenga kama madenge kwenye gazeti la sani na wanashot gool. Wale morisoni, Mukwala na wengine waliambiwa wakiona goli tu walenge shoot gool. Ukiona timu ilivyocheza unaona kabisa uwezo wa matola. Viongozi...
  2. William Mshumbusi

    Matola na Bodi ya wakurugenzi Simba kunanini? Ni upigaji tu, ushirikina au kumkomesha Mo

    Washabiki hawamtaki Matola tokea Zamani mno. Kila kocha hufukuzwa na kubaki yaye tu ana nini. Kocha wa timu kubwa sio kazi ya kilamtu. Shabiki gani atalipia kiingilio kwenda kumuangalia matola. Kwa wazawa Mgunda anaiweza Simba kuliko mbongo yoyote. Gharama za kawaida tu. Kongo alikuwepo...
  3. William Mshumbusi

    Tatizo la Simba kila Kiongozi ana mchezaji wake na kila moja anataka mchezaji wake aanze na hapo ndio shida huanzia

    Magoli mchezaji aliyempigania na anakula nae ni Joshua Mutale budo. Lazima aanze piga ua. Na Fadlu kuondoka tu kawashika wasouth wawili. Za ndani kabisa.(kwa mujibu wa za ndani kabisa) Mpanzu ni Try Again na wanaompenda Simba yani akina Matola. Wale wa skauti wa Mo ni kujipigania hata kama una...
  4. William Mshumbusi

    Kama viongozi hawamtaki Mo basi wamfukuze tu. Kutuletea kocha wa ovyo na kumpangia kikosi sio

    Tatizo la simba Viongozi ndio hupanga timu sio kocha. Kila kiongozi Mchezaji wake acheze apo ndipo patamu sasa.
  5. William Mshumbusi

    Kama viongozi hawamtaki Mo basi wamfukuze tu. Kutuletea kocha wa ovyo na kumpangia kikosi sio

    Kagoma, kibu, chamue na kante sio wakuwekwa benchi na akina maema, budo, kamara, na wengine. Kiukweli kama Dp world anataka timu mpeni tu. Huyu budo tunae mwaka sasa hana chochote basi tu. Mnatukosea sana washabiki.
  6. William Mshumbusi

    Kibatala ana ushaidi kuwa aliyetekwa ni Humphrey Polepole au ameamua kutimiza wajibu tu?

    Anayefanya hayo sio mwanaharakati ni mwanasheria hivyo lazima atoe jazba, hisia na anatakiwa awe mtulivu afanye vitu kisheria
  7. William Mshumbusi

    Kibatala ana ushaidi kuwa aliyetekwa ni Humphrey Polepole au ameamua kutimiza wajibu tu?

    Kimahakama ni vyema kuandaa uthibitisho. Imidietry. Kama huuamini mfumo unaenda kufanyaje mahakamani? Ukifikiri sana utanielewa.
  8. William Mshumbusi

    Kibatala ana ushaidi kuwa aliyetekwa ni Humphrey Polepole au ameamua kutimiza wajibu tu?

    Wakili msomi. Usijalimu kumuamini mtu brooo. Saanane alimwamini mno mbowe.
  9. William Mshumbusi

    Kibatala ana ushaidi kuwa aliyetekwa ni Humphrey Polepole au ameamua kutimiza wajibu tu?

    Baada ya tukio linalodhaniwa la kutekwa polepole wakili msomi alitakiwa kufanya kilakitu kuhakiki ukweli wa taarifa mfano. 1. Kwenda eneo la tukio na kupata ushaidi mfano. A. Kuna camera B. Damu ilitapakaa pale ni ya polepole kweli na sio ya mbuzi au kuku. C. Kutafuta wapelelezi binafsi ili...
  10. William Mshumbusi

    Kama Tunaamini kuhusu deep state basi Tusimlaumu Mama bali tumuhurumie, na Tumsaidie

    Unabadilisha vipi wakati labda na yeye anatishwa kuliko ata wewe uko.
  11. William Mshumbusi

    Kama Tunaamini kuhusu deep state basi Tusimlaumu Mama bali tumuhurumie, na Tumsaidie

    Imani ya Deep state imekuwa sana. Maana ya Taifa kuwa chini ya watu wasiojulikana(deep state) liko nje ya uwezo wa Raisi. Inaaminika ata tawala za ulaya zipo chini ya deep state. Kwanini nasema hivyo. Moja vaa viatu vyake. Deep state ni kama Shetani mkuu. Atakupandisha juu ya mlima mrefu...
  12. William Mshumbusi

    GE2025 Tusiwaze kuhusu maandamano ya Oktoba 29, Hayawezekani. Hayana ajenda

    Usimi wa kibongo ni upumbavu. Dunia ya wasomi uelewa hupimwa kwa mtazamo. Ujenzi wa dhana na sio kukariri. Lugha na mawasiliano vipo kukidhi mawasiliano na maelewano na si kuwa sawa kilakitu. Mzungumzaji kulewa tu mwandishi alimaanisha nini ni jibu tosha kuwa ka
  13. William Mshumbusi

    GE2025 Tusiwaze kuhusu maandamano ya Oktoba 29, Hayawezekani. Hayana ajenda

    Umeisoma. Kama huwa husomi vitabu huwezi kuelewa
  14. William Mshumbusi

    GE2025 Tusiwaze kuhusu maandamano ya Oktoba 29, Hayawezekani. Hayana ajenda

    Sizungumzii kupiga kura. Right situation for change
Back
Top Bottom