Ndio Mama ni kama ameshindwa sasa kutatua changamoto za umeme na Siasa chafu.
Huu ukatikaji wa umeme tena masika ni wa kiwango cha juu mnoooo toka nizaliwe. Sio mgao ni ukatikaji umeme.
Sipo kwenye bwawa ila nahisi vitu vitatu.
1. Tumenunua mitambo chakavu bwawa la mwalimu nyerere
2...
Angalia nyuma ya pazia kaka. Je walifanya vibaya wakiwa na kocha sahihi. Walilipwa kwa wakati. Kama timu ilicheza robo wakiwa na madeni na whydad tulitegemea muujiza gani.
wangewahukumu wakiwa na stahili zooote mkononi.
Je wanakuja ni bora kuliko waliopo?
Je phiri ni mbaya kuliko onana...
Azam iko mwaka wa saba toka ifanye huo uamuzi sasa na bado hakuna inachofanya.
Na ubaya wanaokuja sio bora kuliko waliokuweko.
Ayoub hamfikii manula mbali mno
Sarry hamfikii kanute alafu mzee.
Onana hawezi kufanya zaidi ya phiri.
Ata
Shida ni viongozi wenye tamaa.
Azam ikiwa na kikosi bora iliuza kila mchezaji tegemewa eti ijenge timu upya mwaka 2017.
Aishi Manula, Kapombe, Boko wote wakatua simba. Wakimfata shabalala aliyekulia huko huko.
Ndio njia inayopitia Simba. Kila mchezaji anayekuja na kufanya vizuri hatakiwi...
Alinyimwa nafasi na kila akipewa alikuwa anascore. Na nani kaja na kiwango kuliko yeye. Au onana kwa goli zile mbili. Phiri kafunga ngapi?
Mchezaji anachezeshwa kwa shinikizo la washabkki kweli.
Na shida kuna mtu aliyebaki bora kuliko yeye.
Kama maamuzi hayo ya kuwaacha Saidoo, Onana na Bocco kafanya Benchika basi yupo hapo Simba kuiua.
Kama maamuzi hayo kafanya mo basi mpango wake ni kuiacha Simba mbovu kama aliyoikuta. Lengo ataeichukua aumize kichwa.
Kama maamuzi kafanya try Again na Mangungo basi wametukomesha.
Phiri kaja...
Mpira kimbiza kimbiza ni wa kizamani. Haukupi uhakika wa matokeo. Ulichezwa sana na waarabu. Ila waalgeria mliwakimbizia wakawabutua 3-0. Al ahly pia mkaponea kwa uwezo binafsi wa pakome tena home. Mbiombio Leo unashinda tano kesho bila bahasha unagongwa. Angalia arsenal na unawachosha...
Mfumo wa kocha sasa ni kuwa na strong first 11. Sio wachezaji wawili kila namba. Hivyo mfumo haumpi nafasi sio mkude tu. Ata akina Musonda, Kibwana, Nkane na wengi tu.
Una uthibotisho wa tabia zake kaka. Au umekumbwa na Fitna za viongozi wanaotaka kulamba tu ela za usajili kila dirisha likifunguliwa.
Je nini sababu za phiri kuchezea benchi mpaka washabiki kumshinikiza Robertinyo kumpanga na kuanza kutupia.
Naamini wachezaji wanatolewa mchezoni kwa manufaa...
Nje ya uwanja inaweza kuwa hivyo. Ila ndani ya uwanja sikuona kabisa mapungufu yake.
Wakati mwingine kumudu wachezaji kunaitaji management nzuri. Vip nabi Aliamua kumchukua morson kutoka simba Akiwa mkorofi. Na leo kaenda nae MOROCO.
Unaweza ukatumia ubora wake tu na udhaifu wake...
Ndio hivyo. Safari ya Okra ni sawa na ya Peter Banda na Sasa Chama na Phiri. Wakiwa katika ubora wa juu kabisa wananyimwa namba kwa fitna. Okra kaenda Ghana katupia goli tisa Tayari. Kwanini Yanga wasimchukue.
Okra akiwa Simba Aliifunga yanga. Akafunga de Agost magoli muhimu kabisa. Kafunga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.