Recent content by WILLIAM MARCONI

  1. WILLIAM MARCONI

    Hata kama wanabeba Hivi unaweza kubeba watu wote hawa kila mkoa ? 😳

    Wewe ndiye mdumavu. If you are so smart why aren't you rich? Ilani naxsera za CCM ni hizihizo ziliikomboa Nchi yetu ukoloni na utumwani; hizo hizo zilizikomboa Msumbiji na Zimbabwe na Afrika ya Kusini. Hizohizo zilimsomesha Raila na Askofu Bagonza na Museveni. Are you saying wote hawo wamedumaa...
  2. WILLIAM MARCONI

    Mahojiano ya Rostam na Tido Mhando ni maigizo kwa 100% (staged interview)

    Asante kwa maoni yako, ukitumua haki ya Raia mwema kikatiba. Sasa tusubiri na wengine waliomsje, mko wengi Raia wema.
  3. WILLIAM MARCONI

    Hata kama wanabeba Hivi unaweza kubeba watu wote hawa kila mkoa ? 😳

    Nani kasema wabebe Kila Mkoa? You carry as much as you can get. Hili ni jambo la kawaida sana huko Bara, kutumia malori ya SHIRECU kwenda Christmas au malori ya Polisi kwenda kuona mchezo wa Ligi Kuu kati ya Yanga na Pamba United. What is the big deal?
  4. WILLIAM MARCONI

    CHADEMA Yalaani Uvamizi wa Ofisi za Jamii Forums, Yataka Ufafanuzi wa Serikali

    Imeelezwa kuwa na Katekista alikuwa anamtembelea Msharika wake, kwa nini uhisi ni shetani? Si ni kutoa ushirikiano tu? Unajiuliz iweje mtu AVAMIE halafu AOMBE kupewa kompyuta? Ni wajibu wa wa Msaliti kutukana na jambazi kukimbia; wajibu wa Raia mwema ni kutoa ushirikiano. Mara nyingi matokeo...
  5. WILLIAM MARCONI

    Maxence Melo amshangaa Gerson Msigwa kusema waliovamia Ofisi za Jamiiforums ni Maafisa Usalama

    Hilo sasa si uwaulize waliowasilishiwa, mbona unatuuliza sisi? Instinctive reaction ya Msaliti ni kutukana na jambazi kukimbia, ya Rais mwema ni kutoa ushirikiano.
  6. WILLIAM MARCONI

    Hata ashushwe Malaika kuja kuwaongoza Watanzania Bado Watapiga Makelele na kutaka awafanyiage miujiza ya kuwawekea Mabomba ya asali na Maziwa Midomoni

    Hawo no CHADEMA, kundi la Kanda maalum na Mr Lissu kwao matusi ni jadi. Bahati nzuri siyo wengi.
  7. WILLIAM MARCONI

    Tetesi: Yawezekana Ndani ya mwezi wa Tisa 2025 Jamaa anaachiwa Huru

    Mmmmh, akakinukishe kama alivyoahidi. Of course atapokelewa na Polepole na Askofu Bagonza pale Msimbazi Centre kwa ukaribisho wa Padri Kitima ila sasa sijui kama Sheikh Ponda Ponda na Askofu Gwajima watakubali,?
  8. WILLIAM MARCONI

    Hope is fading away

    Hivo hujagindis kuwa Mwambukuzi ema ni mental au nicompoop namba anavoongea na kujenga hoja kama punguani? I can understand watu kama kina Lissu na Fatima Karume walau Wana masters za Ivy League lakini huyu bwana Kajunjumele is too much of a buffon. Hivi alisoma wapi? Kina aliye na CV yake atugee?
  9. WILLIAM MARCONI

    Ripoti ya IMF (2025): Tanzania Miongoni Mwa Nchi 10 za Afrika Zenye Deni Kubwa la IMF

    Kwa hiyo haimo kwenye top 3 Wala top 5 Wala top 6? Who is top 5?
  10. WILLIAM MARCONI

    Wapinzani wa Samia mna ugonjwa wa akili. Mtu mwenye akili timamu anawezaje kuaminishwa mtungi wa gesi asilia unauzwa chini ya dola 1 ?

    Flipflop ALLYS STAR VVIP CLASS MCHANA NO1 Confirmed SHINYANGA-DAR ES SALAAM via DODOMA 901357197620 Trav date:2025-09-02 Report:15:00 PM Dep time:15:30 PM Bus plate no:T 938 EHN Seat:6 Name:George Funguka Boarding point:ALLYS STAR OFFICE HQ Dropping point:DAR ES SALAAM Fare:TSH...
  11. WILLIAM MARCONI

    Nini kimelikumba Jeshi letu? Imekuwaje linatumika kwa ajili ya kampeni za CCM?

    Uhuru wa Nchi hii uliletwa na TANU na Waislamu wa Kariakoo na Yanga. Baada ya maasibya Jeshi 1964 ndipo Nyerere akalusuka upya Jeshi let kwa kutumia Vijana wa TANU Youth League, kwa hiyo TPDF haiwezi kusagau lilikotoks
  12. WILLIAM MARCONI

    Kamwaga atembelea Ubalozi wa Cuba kuhakiki bei ya Gesi

    This is a no contest. LPG kilo 20 kwa US$0.8 cannot be true even on the face ot it. Nchi jirani ya Venezuela. yenye risavu kubwa za gesi. mtumgi huko huuzwa US 39.85, kuumbuka Cuba Haina gesi Wala mafura. Polepole katoa Bei aina 3 kama enzi za Ukomunisti USSR au sisi enzi za Tume ya Bei...
  13. WILLIAM MARCONI

    Suluhisho la ufisadi kwa serikali za kiraia ni mapinduzi ya kijeshi tu!

    Yaani ufisadi wa kijeshi? Au Jeshi litekeleze Ilani ya CCM kama zamani TPDF ilikuwa bi Mkoa wa Chama? Nutty logic!!
Back
Top Bottom