Wakuu natumaini nyinyi yote mpo salama. Nahitaji kujua je nikiagiza bidhaa kwa kutumia kampuni ya aliexpress nitazipata wapi bidhaa zangu kwa hapa tanzania na vipi kuhusu kodi!? . ningeomba mtu ambaye ashawahi kufanya anisaidie kwa mfano dhahiri tafadhali.
09. Kuwa na mtazamo hasi.
Siku zote kwenye maisha mtu mwenye mtazamo hasi hushindwa hata kwa jambo dogo. Hivyo badili mtazamo wako na uwe na mtazamo chanya kwenye malengo yako. Mtu mwenye mtazamo chanya huwa na msukumu (inspiration) wa hali ya juu kwenye kutimiza alichokusudia. Ili uwe na...
Hahaaaa utaenda kufanya nini wakati elimu yako huwezi kuwashinda but mimi sitafikia huko mawazo yako yalikofika mkuu
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Sijasema asitoke ndugu ila nimesema awe na imani kuwa hapo alipo haijalishi ni kijijini au mjini yupo mahali sahihi na sehemu ulipo ndipo fursa inapopatikana wangapi wanatoka vijijini na kuja mjini na maisha yakawashinda na kurudia kulekule?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.