Tuliosoma miaka ya 97-2000, nakumbuka nikiwa form one kipindi cha Zitto Kabwe akipanda pale meeting ground anapiga ngeli sana nabaki natoa macho tu! Kweli nilipenda sana Tosa hadi nilipata ONE, salamu kwa Lyunyiliko Komba, Steve, Nicholaus Haule, Sadati Kalolo, George Binde, Salvatory Kyakwe...