Recent content by Wilfred Mishita

  1. W

    Kufutwa kwa matokeo ya kidato cha nne 2012: Nani atawajibika kwa madhara yaliyotokea?

    Jamani naomba tusiwe wavivu wa kufikiri japo kidogo tu, hivi mwanafunzi anasoma ili iweje?(aelewe anachofundishwa na kuwa na uwezo wa kujieleza/kujibu maswali au ni kufikia hizo gredi tu ili afaulu) Kwa mtindo tunawapa ijumbe gani wanafunzi wengine? je si kuwafanya wawe wavivu kabisa hasa katika...
  2. W

    Waliofeli kidato cha nne 2012 kujiunga kidato cha tano 2013

    Mimi naona tatizo ni kwamba bado hatujajitambua kabisa katika elimu yetu, tulipiga kelele walipofuta mitihani ya kidato cha pili; lakini hawakujali, muda wa mavuno ulipofika ndio wanashangaa kuona hizo sifuri. Japo ni kweli kufeli hatua moja sio kushindwa kwa hatua nyingine lakini sio busara...
  3. W

    Wizara ya Elimu yaja na mpango wa kushusha alama za ufaulu kuingia Form Five!

    Tulishangaa sana pale baadhi ya watahiniwa walipochora mazonbe kwenye karatasi zao za majibu, lakini ukweli sasa ndio huo unaanza kuonekana> Tangu lini kiongozi asiye na nia akafikiri sawasawa ndugu zangu, katika hili mimi wala sishangai na ipo siku watafuta kabisa hivyo viwango vya ufaulu ili...
  4. W

    I am seeking for your Advice brothers

    Dear Brother at Jamii forum, I am looking for public universities/colleges of health science that offer a diploma and certificate programs in medical laboratory science and technology,clinical officer and other programs specialized in health services.Also i would like to know if ,it will be...
  5. W

    Msaada Kka zangu

    Jamani naombeni mnisaaidie majina/websites ya vyuo vya afya vya serikari vinavyotoa cheti na stashaada:katika fani medical laboratory na clinical officer
Back
Top Bottom