Wanafunzi WA Dar asa wale walio katika Shule Za kata wengi wao awafiki shule utawakuta wamejazana kwenye fukwe za bahari (Beaches) mbaya zaidi wakiwa wamevaa sale Za Shule. Nadhani wahusika wawachukulie ataua pamoja na jamii endapo watakutwa uko mida ya shule wakiwa na sale Zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.