Recent content by widson

  1. W

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Ukiangalia aina ya E mail wanazotumia , utagundua kuwa mapeli ndo wanaandaa haya matangazo, hao ukisha tuma lazma wakujibu na kukwambia tuma 20000 Kwa namba no. Kwaajili ya form,tafuta kopo lolote la dew drop kama utaona free E mail kama izo, Makampuni yanatumia email za kulipia, sio email za...
  2. W

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Ya mda mrefu iyo mkuu, na madogo walisha kwenda sio wote waliofukuzwa
  3. W

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Ikifika tarehe 22 watasema ngoja XMASS na mwaka mpya zipite,
  4. W

    Natafuta kazi yoyote ile ila isiwe Ulinzi. Nipo Dar es Salaam

    Jumua maembe panga barabarani, kwa mtaji wa elfkumi tu, ukiona faida yake utajiongeza, kama Hauna mtaji omba kwa ndugu yako yote yote ambaye ni mlinzi hawezi kosa kukusaidia sh elf kumi.
  5. W

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Tuwe wavumilivu kidogo,idara nyeti hii ngoja wapembue wajilizishe.
  6. W

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Hapana Cha zaidi labda Kuna techniqual question za hesabu.
  7. W

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Ingia google andika aptitude test au IQ question zipo kama zote
  8. W

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Ilo mkuu tuwe na uvumilivu kuona itakuwaje.Shida mzee baba Military science wanachukua mujibu walioko kozi wale walisoma kozi za science, wenye ufaulu mzuri mara nyingi mwisho division 1,huwa wanaenda RTS kwanza badae wengine wanatawanywa nchi mbali mbali kama china, kwaajili kozi za sayansi...
  9. W

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Order ishatoka kihangaiko ya tarehe 23 kuanza kupokea vijana but hawaja sema kama ni mujibu wa military science ama vijana waliojenga ikulu au vikosini
  10. W

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Uyu mwamba alietoa ronja ya tarehe 23 JWTZ ni hatari, atutajie na ya Magereza lini maana ronja zake za uhakika.
  11. W

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Miezi 6 kama wamechanganya uraiani na walio pita mafunzo ya jkt, wakichukua waliopita jkt tu, kozi huwa miezi mi nne kwa Magereza,
  12. W

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Lazma kieleweke mwaka huu!
Back
Top Bottom