Mambo vipi wana JF?
Poleni na majukumu ya uzima, mwenzenu nimekuja na ombi kidogo kama mjuavyo kwenye maisha MUNGU hajamtunuku kila mja.
Mimi kama kijana mwenye uzoefu na kazi za saloon za kiume,naishi IRINGA, nawaombeni kama kuna mtu ana salon au anaplani za kumiliki anipe kazi na kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.