Watu waishio pembezoni mwa barabara ya mzenga-mlandizi-bagamoyo wamefanyiwa tathmini zaidi ya miaka kumi sasa kwa ajili ya kulipwa ili kupisha ujenzi wa barabara hiyo kwa kiwango cha lami lakini mpaka sasa hakuna malipo yoyote yaliyofanyika, wananchi wamezuiwa kuendeleza ardhi yao kwa namna yoyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.