Habari zenu wana jf.
Vp kuhusu biashara ya kuchakata Kokoto Dodoma kwa ajili ya ujenzi hali
kibiashara ikoje?
Mana baadhi ya Miji hii biashara imeshuka sana.Mwenye Uwelewa naomba kujuzwa.Shukran.
Habari zenu Wadau.
Nina Kijana wangu amepata ufaulu wa PPont 7 yaani BB Chemistry na Biologym na C Physics. Aliomba MD MUHIMBILI na UDOM na kote amekosa. Naomba Ushauri jamani . natanguliza Shukurani.
Ni kwamba tayari ninayo crusher lakini niko nayo Tanga lakini biashara imeyumba halafu ushindani ni mkubwa sana kwa hio nilikuwa nataka niihamishie Mkoa mwengine,natumai umenielewa ndugu.
Habari zenu wadau.Ninaomba ushauri kuhusu biashara ya kutengeneza kokoto,jee ni Mikoa gani ambayo ninaweza kuwekeza na kunilipa?
Natanguliza shukurani.
Jamani ninauza Chokaa safi kutoka Amboni Tanga.Kwa yeyote anaehitaji iwe ni kwa Jumla au reja reja naomba tuwasiliane kwenye number 0657 556692.
Natanguliza shukurani.
Jamani nina Chokaa safi kutoka Amboni Tanga.
Kwa yeyote anaehitaji iwe kwa jumla ama rejareja naomba tuwasiliane.
Natanguliza shukurani kwenye number hio hapo 0657 556692.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.