je wanaodai kuwa sie tushakuwa ndugu wa damu wako tayari kwa selikali moja???kama hawako tayari baada ya miaka hamsini solution ni selikali tatu....kama wazanzibari wanaithamini sana nchi yao kiasi cha kutokuwa tayari kuungana na kuwa nchi moja,basi watanganyika nao wanapaswa kuithamini nchi yao...
jamani mbona tunapotosha kauli za watu!je ni lini walioba alisema watanzania wanadai nchi tatu...kwa akili ya kawaida hiyo nchi ya tatu inatoka wapi wakati nchi zilizopo ni mbili tu...tuliomsikia walioba alisema kwamba wananchi walio wengi wanataka selikali tatu jambo ambalo linawezekana katika...
hapo kinachofata ni ccm kuzibiti wafuasi wake wapige kula za wazi na pale mbunge wa ccm atakapopiga kula ya siri ataonekana kama msaliti..na atakapopiga ya wazi ni lazima afuate matakwa ya chama chake na wote wamsikie...isipokuwa esther bulaya ambae toka mwanzo yeye anataka kula ya siri and i...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.