Recent content by Wcb for life

  1. W

    WCB mshaurini boss wenu, akiendelea kumuwaza Kondeboy atapotea

    Mkuu kabla harmonize ajatoka WCB ulikua team gani?
  2. W

    Wakuu nataka nianze Gym

    ahahahaha hapana mkuu nataka mwili ukae vizuri tu.
  3. W

    Wakuu nataka nianze Gym

    sio kuiga mkuu nimechoka na kamwili kembamba nikivua shati kwa watu nikituko.
  4. W

    Wakuu nataka nianze Gym

    madhaifu gani?
  5. W

    Wakuu nataka nianze Gym

    hizo mambo kabila letu hatunaga afu mi nimekulia town.
  6. W

    Wakuu nataka nianze Gym

    kwa unavyofikiri gym ndakuwa nalipia mawe au?
  7. W

    Wakuu nataka nianze Gym

    yah mkuu na odds za maana.
  8. W

    Wakuu nataka nianze Gym

    jamaa flani ni mbavu saana ingia instagram andika official brown
  9. W

    Wakuu nataka nianze Gym

    wakuu msaada wenu nataka nianze gym ila mwili wangu ni mwembamba saana nataka nijae kama brown. nahitaji supplment nzuri ya bei rahisi au dawa zozote nazoweza kutumia. naombeni msaada kwa wataalamu wanaojua haya mambo.
  10. W

    Septemba na Oktoba: Diamond Platinumz amekuwa na wakati bora sana licha ya maneno kuhusu suala la Harmonize

    WCB for LIFE tanzania hakuna kama rais diamond pltnmz na atabaki kuwa juu mungu aendelee kumbless.
  11. W

    Kwanini Ali Kiba hatoi ngoma?

    ahahahahaha anangoma na harmorapa inaitwa mvinyo.
Back
Top Bottom