Hawa ni dagaa baada ya kutoka ziwani wana anikwa kwenye nyasi ili wakauke ,ambapo ni tofauti na dagaa wengine wana anikwa kwenye uwanja au mchanga usio na nyasi.nadhani umenielewa
Darasa la buree wafanya biashara wenzangu.
Utaratibu na vitu vinavyo hitajika.
1. Inatakiwa kuwa na tin namba na leseni ya biashara kutoka tra.
2.Inatakiwa uwe na leseni ndogo ya kusafirisha dagaa ndani ya tanzania.
3. Inataki kuwa na kibari ya kusafisha mzigo wa dagaa kutoka wizara ya mali...
JE UNAHITAJI DAGAA WASAFI WA NYASI TUNAPATIKANA MWANZA KIRUMBA MWALONI, MKOANI TUNATUMA KWA UAMINIFU MKUBWA TUNAWEZA WASILIANA WHATTSAPP AU PIGA 0755213580
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.