Tunalia Kama wananchi kwa kipindi kigumu tunachopitia hatuna nguvu hayupo wakutusemea ,maisha magumu shida zimezidi ,viongozi wetu wanasikia Ila wameweka pamba masikio viburi vimewajaa hawana huruma kwa wananchi wao ,wamekuwa na roho mbaya iliyopitiliza ,wamekuwa waongo na hawana haya ...
Mbona hufanyi press conference ukasema ukweli shida nini nyinyi ndio watu tunaowategemea umesahau kipindi Cha magu hadi ukaitwa bungeni na ndugai Yale makali yapo wapi ? Bwana pasco
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.