Huo ndiyo upuuzi. "Unanijua mimi" maana yake watu waliwekwa ndani/magereza bila sababu za msingi. Fuatilia kipindi cha yule chizi, ndio utajua. Watu wanapewa kesi hazina mbele wala nyuma, hadi ndugu zako wanashangaa. Hiyo ndiyo maana ya unanijua mimi. Mtu alikuwa aki challenge Madudu ya system...
Lile lilikuwa ni Meo, limekata moto bila machafuko, safi sana. Halita pumzishwa chizi lile, tutalinanga mpaka basi. Maana sasa tuna uhuru.
Binadamu kosa kila kitu kasoro uhuru. Yule chizi alikuwa na fix siyo za karne hii.
Inawezekana hata wewe haujielewi maana; 64km za mraba Inaweza kuwa na marefu ya 32km au 64km hata zaidi ya 64km, kutegemea na upana wa eneo husika 2x32 or 1x64
Issue ni kutaja hata kiwanda kimoja, ndiyo tutajua tatizo la Rungwe kama ni umri au upinzani wa hovyo! Kaeleza jambo rahisi sana kulithibitisha.
Ila kuhusu kutembea na hotootv,a ubwabwa Ni sawa kabisa na Magu kutembea na wanamuziki wote wakati wa kampeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.