Recent content by washamba

  1. W

    Maoni yako tafadhali kuhusu kondomu

    Hakika dhambi zetu ndio zinatumaliza!
  2. W

    Usione mwanaume katulia kwenye ndoa ukajua kaendewa kwa mganga,uganga tunao wenyewe wanawake....

    Mwanamke kuwa na tabia hizo zote kweli kutasaidia kupunguza nyumba ndogo kwa kiasi fulani! lakini kamwe haziwezi kuisha kwenye jamii inayotuzunguka kwa sb wanaume tunatofautiana sana kitabia!. Maana kuna mwingine yeye hata afanyiwe hayo yote habadiliki maana umalaya ni tabia yake siku zote mpaka...
  3. W

    Napenda sana umbea

    kama wewe ni wa kiume nakushauri kama hujaoa usijaribu kuoa maana ndoa yako haitadumu hata kwa wiki moja labda uowe mwanamke mwenye tabia kama yako ndio mtaishi kwa raha, kwa sababu ukimwanika mambo yake na yeye kesho anayaaniaka ya kwako hapo inakuwa ngoma droo ndio mtaishi kwa raha mustarehee...
  4. W

    nataka niwe no 4 nifanyeje?

    kama unadhani Mwenyezi Mungu alivyokuumba alikosea maeneo fulani nenda kwa wachina wata kukarabati na utaipata namba 4
Back
Top Bottom