Recent content by WAPASTA

  1. W

    Rais Mstaafu J. Kikwete: Safari zimenifunza ni heri "Mtembea bure kuliko Mkaa Bure"

    Si nasikia aliandikiwa kama wanavyoandikiwa wengine, halafu akapewa ka desa ili akatete mbele ya jopo.
  2. W

    Sterling Engineering wafuta kesi mahakamani baada ya kuona Tanzania itaibwaga

    Daaaah mungekuwa mmeogopwa na Sterling Engineering si TUNGEKUFA kwa majigambo wana wa LUMUMBA
  3. W

    Kanisa la Moravian lamuunga mkono Rais Magufuli, lapuuza matamko na kuyaita ni malalamiko

    Itakuwa ni mchungaji wa UPANDE ule walioasi Imani ya bwana na Kutafuna Mali ya Kanisa.... Ninvyojua mimi KATIBU MKUU Wa Kanisa la Moravian Tanzania (KMT) ndio msemaji mkuu wa Kanisa.. Sijui haya mapandikizi mengine yanatoka wapi!
  4. W

    Huu ndio ukweli juu ya kuchafuliwa kwa Rais Magufuli na hili gazeti

    Wazungu hawa hawa ndio waliokota Magari na vichwa vya treni visivyo na mwenyewe kule bandarini halafu wakavinunua kimya kimya!
  5. W

    Dharau za huyu Kada wa CHADEMA Mwanza sasa hazivumiliki tena, adhibitiwe na wahusika

    Kama viwanda vyenyewe ndio hivi basi ana haki ya kuzungumza hayo aliyoyazungumza
  6. W

    Jenerali Mabeyo(JWTZ): Kuna Viashiria vinavyotishia Usalama wa Nchi. Hatua zinachukuliwa kudhibiti hali hiyo

    Ndio shida ya kuteuana kikabila/kikanda badala ya kukemea uvunjifu wa katiba na mauaji ya wananchi eti watu wamuunge mkono sijui nani! Hovyo kabisa.
  7. W

    Tundu Lissu kufanya mahojiano na Azam Tv tarehe 01, Januari 2018

    January 1, 2018......Saa 7:00 mchana.
  8. W

    Tundu Lissu kufanya mahojiano na Azam Tv tarehe 01, Januari 2018

    Mahojiano yalishafanyika last week kule Nairobi, Azam Tv walikuwa busy kuedit ili mazungumzo ya TLS yasimkasirishe Mtukufu...... Don't expect kusikia mambo mazito mazito maana yameshatolewa yote.
  9. W

    Askofu Kakobe vs TRA ndani ya mahakama

    Uzuri hao usalama wa taifa hawako upande mmoja tu wa bwana yule wa ukanda ule! Wanajua kuna maisha baada ya miaka 3 ijayo
  10. W

    Askofu Kakobe vs TRA ndani ya mahakama

    Alishasema hajaribiwi lkn anao kina Le Mutus na Jenny Muro
  11. W

    Anayestahili kumjibu Kakobe ni muhusika anayetakiwa kutubu! Suala la kiroho haliwezi kujibiwa kisiasa

    Kama think tank yao ni type ya Jerry Muro, Le Mutuz don't expect anything toka kwa hawa watu
  12. W

    Kakobe alitumwa?

    Nafikiri mumkumbushe na askofu Pengo na Mch Gertrude Rwakatare wajiandae kwenda kwenye majukwaa ya siasa pia.
  13. W

    Kakobe alitumwa?

    Watanzania wanahitaji elimu bora inayotolewa kwenye mazingira bora, wanahitaji huduma bora za afya zinazopatika kwa urahisi kwa wananchi wote! Hizo methali za Elimu bure iliyo mbovu nani anazitaka? wakati wa kudanganya watu uko ukingoni...unemployment rate inatosha kuwanyoosha vijana wachumia...
  14. W

    Kamanda Mambosasa: Aliyemjeruhi Meja Jenerali mstaafu, Vicent Kariongo kwa risasi auawa

    Naishi mitaa hii ya kwa Mgalula hiyo tarehe 11 October haukusikika mlio wowote wa risasi wala majibizano ya polisi na hao majambazi
Back
Top Bottom