Huyo mtarajiwa wako anapenda sana tamthilia na inaonyesha wewe unarudi wakati tamthlia inaendelea. Kwahiyo anao a kero kunyanyuka tamthlia itampita.
Hiyo show yako ya 40+ minutes huenda kwake ni muda mrefu hivyo kufanya mara kwa mara hataki.
Halafu! mbona unacharaza mtu mzima mwenzako namna...
Kupiga hata hakusaidii. Muhimu ni kuzungumza. HAMNA KITU NACHUKIA KAMA MWANAUME ANAEMPIGA MKEWE. HATA KOSA LIWE LIPI. JAMAA KAMPIGA NGUMI YA USO MKEWE. SASA ANGEMPOFUA! YEYE NAE NI MTOTO WA MTU.
Namshangaa mleta mada. Yeye hana usafi wowote. Kakiri mwenyewe anachepuka vizuri sana. Mke kachepuka anaumia, anapata na ujasiri wa kumpiga ngumi za uso. Kisa cha kupiga mtoto ngumi za uso ni nini. Kwa usafi gani ulionao. Huo ni unafiki mkubwa hata Mungu anakushangaa. Yaani kwa sababu wewe ni...
Ila tafakari sana. Why imetokea hivyo. Maana kama sio chepuko lako limebugi saa hii na wewe ungekuwa somewhere.
Nakushauri relax, omba Mungu, samehe, usichepuke tena.Kama na yeye kweli atakuwa kaenda chepuka ni kosa. Sameheaneni. Maisha yaendelee kama kawa.
Mimi nafikiri harudi leo. Lala tu mkuu. Fanya maombi ya toba kwa ajili yako na yake. Halafu wewe wacha kuchepuka. Ikimbie zinaa. Labda wewe ulianza chepuka na mrs analipiza maybe.
Mimi sio Mchina ni jina tu. Kuhusu kuchonganishwa possibly inaweza ikatokea. Maana hata huko aliko anachongea. Naonaga anavyompigia simu na kumueleza mambo. Kama huko anafanya hivyo akija anaweza fanya the same au asifanye..i dont know! Ndiyo hivyooo najiandaa kuvumilia yajayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.