Viongozi wetu bado wanasita kwenye maamuzi nadhani kwasababu hai ingii akilini yani kwamfano mtu ununue sabuni dukani alafu upangiwe na muda wa kutumia usipo maliza aje aibebe.
Utangulizi
Internet ni chombo mhimu sana kwa dunia ya sasa, kwasababu mambo mbali mbali kama biashala, ajila, matangazo, kusoma, na kufundishia tunatumia internet.
1. Faida za internet kwa jamii
(i) ajira. Hapo zamani ili uwezu kutuma maombi ya ajila/kazi ilkua ni lazima utembee na...
Utangulizi
Moja kati ya nyanja zinazo ongoza kwa kunyonyaji wateja wake (watumiaji) katika nchi yetu pendwa ya Tanzania. Basi huwezi acha zungumzia makampuni ya simu za mawasiliano ya hapa kwetu Tz Zifuatazo ni kelo tunazo kutana nazo watumiaji wa mitandao hii hapa tanzania.
1. Kukosa haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.