Hii ni kawaida kutokea hasa ktk nchi za Afrika.Mmesahau Rais Jacob Zuma Wa South Afrika,alituhumiwa kukwiba hela pamoja na uasherati, Hadi akatimuliwa umakamu Wa Rais na Rais Wa wakati ule bwana Thabo Mbeki?.Mfano mwingine ni Kenya,Rais Uhuru Kenyata alishtakiwa ICC kwa kushiriki kikamilifu ktk...
Mwizi ni mwizi tu,Membe unajitahd sana kujisafisha ila husafishiki.Wewe umekua mtumiaji mzuri sana wa fedha kwenye kutafuta wadhamini mikoani,nadhani hakuna mgombea anaetumia hela kama wewe.Alafu unasema wewe si fisadi,Hizo hela umetoa wapi?
Makongoro hawezi kua Rais jaman,acheni mchezo na Ikulu.Tatizo la Tanzania sio Ufisadi pekee, na haliwez kumalizwa kuwatukana wenzako,tatizo kubwa la Tanzania ni System na Bureaucracy,mengine yote yanazaliwa na kutoka humo.Sasa huyu Makongoro hajui kiini cha tatizo,akiwa ikulu hawezi badili...
Mungu wa mbinguni hawezi kujifunua kwa mwanadamu mdhambi asiye mtumikia yeye.GeorDavie,sio mcha Mungu ameharibu ndoa ya msaidizi wake huko Arusha,mahakama imethibitisha pasipo shaka.kwa Hilo Tu mungu hawez kumtumia ktk kazi zake.huyu bwana Hana tofauti na wapiga ramli wengine
Hua mimi nawashangaa CCM na supporters wake, Tume ya Warioba ilipewa kazi imeshindwa kuifanya maana kazi yao imekataliwa. Sasa mtu anaekosea kikawaida na kisheria anaadhibiwa. Tume imeharibu kazi waliyopewa na Mheshimiwa Raisi,kwahiyo ni kusema kwamba imehujumu pesa za watanzania maana yenyewe...
Mimi nashangaa CDM ambao ndio chama kikuu cha upinzani wako kimya hata hawalizungumzii.Ilipaswa kiongozi wa baraza la Mawaziri Mr.DHAIFU(mkuu wa viongozi mizigo awe keshaondoka magogoni).Hivi tumerogwa nanani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.