Kwanza kabisa nataka kukupongeza kwa ushindi wa kishindo ambao umeupata,wewe pamoja na raisi wako wa JMT Raisi JPM kwa ushindi wenu na chama kwa ujumla. Najua unakazi ngumu sana ya kulijenga na kulitetea jimbo lako kwa miaka mingine tena 2025-2030 kama mwenyezi mungu atakujalia. Japo najua...
kwa kauli ya Zitto hapaswi kulaumiwa ya kusema asiyetaka akaanzishe chama kumbuka Zitto sasa yupo ndani ya ndoa hivyo hawezi tena toa kauli ya kuwatetea wapiga kura wake na pia kumbuka Zitto Kabwe amekataliwa na wana Kigoma kadri siku zinavyo enda Zitto anaanza rudi Lumumba na sisi wana Lumumba...
1.TUNDU LISSU NA BEN MEMBE
Hawa ni watu ambao kiukweli hawakuwa na haiba ya uongozi hawa watu ndiyo ambao wameviangusha vyama vyao na walijiona wao kuwa ni new political figure katika Tanzania ya Magufuli. Leo watu hawa wamekua ni wa watu wa kutapatapa kama mfamaji Wazungu ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.