Recent content by wamoja

  1. W

    JamiiForums Tanzania Kilimo, soko na faida za Uyoga

    Najipanga kwa kuanza kujishughulisha na kilimo, biashara ya uyoga ila bado sijajua masoko ya bidhaa hiyo yako vipi. Mwenyeufahamu wa biashara hii naomba anijuze
  2. W

    JamiiForums Tanzania Ndoa zetu na umiliki wa mali...kizungumkuti kingine!!

    Nimeona nami nichangie kidogo katika mjadala huu. Migogoro ndani ya ndoa hasa kuhusiana na mambo ya mali ni very complicated (kwa maoni yangu lakini). Mimi nimeoa lakini mwenzangu simuelewi, alikuwa akifanya kazi mikoani mie nikiishi Dar. Sasa nikimwambia tujipange ili tufanye kitu cha maana...
Back
Top Bottom