Recent content by wambuni

  1. W

    Mnyika anaonyesha umakini, uzalendo na kutambua lilompeleka Bungeni

    mnyika kwa muda mchache ulio kwepo kwepo bungeni watanzania wengi wamekujua kumbe wana mbadala wa kijana mwingine maarufu ndani ya chama.hongera kwa ushindi mungu akuzidishie maisha marefu.
  2. W

    Kikwete afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri - Aprili 2012

    wakuu bado naona kikwete amechemsha.au ndio kusema hakuna wabunge wazuri ndani ya ccm
  3. W

    Chadema yawasha moto Mkoa Mpya wa NJOMBE

    katibu wa mkoa wa iringa tunakupo chadema tunakupoponge kwa kuingiza wanachama wapya mia moja na kumi eneo la kitanzini
  4. W

    Mbunge huyu hatufai

    Mbunge wa Iringa mjini hafanyi kazi za wananchi kila siku anasema anafanya kazi za kitaifa sisi wananchi tulio mchagua tukiamini mageuzi inatufedhehesha.
Back
Top Bottom