mnyika kwa muda mchache ulio kwepo kwepo bungeni watanzania wengi wamekujua kumbe wana mbadala wa kijana mwingine maarufu ndani ya chama.hongera kwa ushindi mungu akuzidishie maisha marefu.
Mbunge wa Iringa mjini hafanyi kazi za wananchi kila siku anasema anafanya kazi za kitaifa sisi wananchi tulio mchagua tukiamini mageuzi inatufedhehesha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.