Jamani tuwe macho na hawa Wanasiasa na wasioitakia mema Takukuru,msitake kupindisha mjadala kwa kuandika masuala yanayomuhusu Dk. Hoseah,ninafahamu kwamba;
Uchunguzi walioufanya Takukuru kama ilivyokuwa kwenye sheria yao ya zamani ulihusu rushwa,na Dk Mwakyembe ktk taarifa yake hakuna sehemu...