Polepole ni mshirika namba moja wa kuiharibu nchi hii kwa kulazimisha watu waipende ccm iliyojaa majizi na mafisadi.Polepole ni mhuni na hatakiwi kuaminiwa.
Uko sahihi mkuu.Magufuri asifiwe kwenye mambo ya ujenzi na nidhamu kwa wafanyakazi wa umma,lakini mengine aliboronga na akataka kutengeneza Ikulu kijijini kwao Chato.Hayo mambo kwenye jamii iliyostaarabika huwa hayapo kabisa.Kuheshimu ofisi ni jambo la msingi kuliko kupenda penda sifa kutoka kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.