Recent content by WALOLA VUNZYA

  1. W

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Natangaza kuidharau Tume mpya iliyoundwa kuchunguza ya Octoba 29, Wananchi niungeni mkono

    Inastahili Watanganyika wooote kwa ujumla tushirikiane kumpinga Mseveni maana anatuletea udikteta Tanzania kwa kumtumia Samiah vibaya.Mama ameteka sana watu sababu ni Mseveni,Tundu Lissu yuko ndani sababu ni Mseveni,Uchaguzi wa kupika sababu ni Mseveni,Mauaji ya Oktoba 29 2025 sababu ni...
  2. W

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya Freedom House: Tanzania namba 2 kwenye nchi zilizoshuka zaidi kwenye haki za kiraia na kidemokrasia duniani

    Leo majaji kutoka Uganda na Namibia wanakuja kuchunguza vifo vya October 29 2025
  3. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Majibu murua haya.Asante sana kiongozi.
  4. W

    JamiiForums Tanzania PHD Nchimbi anadai KATIBA Mpya, Vilaza akina Ridhiwani, Mwigulu, Abdul, wanasema Achaneni na KATIBA Mpya

    Umoja ni Nguvu Utengano ni Udhaifu.Adui yetu mkubwa kwa sasa ni Jakaya Kikwete,Samia,Abdul,Nchemba,Wasira,Makonda,Katambi na vibaka wa ccm.
  5. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Hiyo ilikuwa gepu ya ccm kuitumia kwa vile Heche na Mnyika walikuwa kwenye msafara tofauti na akina Lema,Sugu na Boni yai
  6. W

    JamiiForums Tanzania Nilichogundua Watanganyika ni wepesi mno kudanganyika na Chama kile wameshawajua walivyo wasahalifu na kuwachezea tuendelee kusukuma gari tukiwa ndani

    Hekima na Busara ni msingi wa maendeleo,Chukli na vinyongo nia adui wa maendeleo.
  7. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Bora umemjibu huyo jamaa.Asante sana.
  8. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Kama unaleta porojo unategemea nini???Jina zuri lakini mawazo hafifu sana hayo.Hivi Heche ni Rais,ni Waziri,ni Katibu wa Wizara yoyote???? Yeye ni Mwenyekiti msaidizi wa CHADEMA NA SIYO TANZANIA.Mlimfunga TUNDU LISSU mkitegemea hakuna anayeweza kukiendesha chama.Sasa aibu zimewakamata imebaki tu...
  9. W

    JamiiForums Tanzania Nilichogundua Watanganyika ni wepesi mno kudanganyika na Chama kile wameshawajua walivyo wasahalifu na kuwachezea tuendelee kusukuma gari tukiwa ndani

    Tujitahidi kuvumiliana sisi sote japo tunatofautiana misimamo.Kwanza sisi sote ni Watanganyika kwa hiyo tujitahidi kumuunga mkono Dr Nchimbi.
  10. W

    JamiiForums Tanzania Makonda: Lissu ni mropokaji hata mazungumzo ya CCM na Upinzani tulimtumia sana Mbowe, anatunza siri

    Lissu hawezi kuwa fisadi na muuaji.Mbowe alikuwa anatunza siri kwa sababu mlishirikiana/mnashirikiana/mtaendelea kushirikian kumwangamiza Tundu Lissu na CHADEMA kwa ujumla.
  11. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Subiria muda wa kampeni ufike kura zitamwondoa tu kama alivyoondolewa Mbowe.Mnajifanya watakatifu kume ni malucifer tu,mioyo yenu imejaa chuki na mnatamani kunyonya damu za wateule.
  12. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Wanachama wa CHAUMA SIYO WANACHADEMA.Endeleeniu kutumika kama toilet paper na Mwaipopo pamoja na Samia na mtoto wake Abdul.
Back
Top Bottom