Inastahili Watanganyika wooote kwa ujumla tushirikiane kumpinga Mseveni maana anatuletea udikteta Tanzania kwa kumtumia Samiah vibaya.Mama ameteka sana watu sababu ni Mseveni,Tundu Lissu yuko ndani sababu ni Mseveni,Uchaguzi wa kupika sababu ni Mseveni,Mauaji ya Oktoba 29 2025 sababu ni...
Kama unaleta porojo unategemea nini???Jina zuri lakini mawazo hafifu sana hayo.Hivi Heche ni Rais,ni Waziri,ni Katibu wa Wizara yoyote???? Yeye ni Mwenyekiti msaidizi wa CHADEMA NA SIYO TANZANIA.Mlimfunga TUNDU LISSU mkitegemea hakuna anayeweza kukiendesha chama.Sasa aibu zimewakamata imebaki tu...
Lissu hawezi kuwa fisadi na muuaji.Mbowe alikuwa anatunza siri kwa sababu mlishirikiana/mnashirikiana/mtaendelea kushirikian kumwangamiza Tundu Lissu na CHADEMA kwa ujumla.
Subiria muda wa kampeni ufike kura zitamwondoa tu kama alivyoondolewa Mbowe.Mnajifanya watakatifu kume ni malucifer tu,mioyo yenu imejaa chuki na mnatamani kunyonya damu za wateule.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.