Recent content by WALOLA VUNZYA

  1. W

    JamiiForums Tanzania Mwachieni Nchimbi mambo ya kuwekana vizuizini ni mambo ya kishamba

    hakika
  2. W

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Sawa lakini msisitizo uwe tuwe na nchi moja yenye serikali moja ili kuweka mambo sawa.Na kama si hivyo inatakiwa tuwe na Serikali tatu.
  3. W

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa majeshi (CDF) na IGP wakienda mahakamani Lissu atahukumiwa kunyongwa

    Ajabu.Huyo ni timu Mbowe Yuda Iskariote.
  4. W

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa majeshi (CDF) na IGP wakienda mahakamani Lissu atahukumiwa kunyongwa

    Hao kwenda mahakamani siyo ushahidi tosha wa kumtia Tundu Lissu hatiani bali ni mwanga kwa sheria mbovu hizi manazotumia kuwakumbatia akina Mbowe wanafiki pamoja na machawa wa ccm.
  5. W

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Ukweli ndiyo huo.Ustaarabu unahitajika.
  6. W

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Tunatakiwa tuwe na nchi moja yenye Serikali moja au tatu.Hayo mabaraza hayana faida yoyote kwa Watanzania wote bali ni maslahi ya watu wachache.
  7. W

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Sahihi kabisa
  8. W

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Kwa sababu ni Mwenyekiti wa CHADEMA
  9. W

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Kama Mwenyekiti wa CHADEMA
  10. W

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Heche aendelea kutoa ushahidi Mahakamani siku ya pili

    Yuko wapi Polepole na Dr Nchimbi?
  11. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nini kimempata Fatma Karume?

  12. W

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda amaliza kutoa ushahidi Mahakamani Septemba 9, 2026

    Kuliko wewe usiyejielewa.
Back
Top Bottom