Gari bovu ni gari bovu tu hata lifike mahali popote lakini gari litaendelea kuwa bovu mpaka lifanyiwe ukarabati na liwekewe spea mpya ili kuli boost.CCM ni gari bovu kwa Watanzania.Rais Samiah ni gari bovu.Wewe mwenyewe ni gari bovu.Makonda ni gari bovu.Sabaya ni gari bovu.Kutakapokuwepo na...
Gari bovu ni gari bovu tu hata lifike mahali popote lakini gari litaendelea kuwa bovu mpaka lifanyiwe ukarabati na liwekewe spea mpya ili kuli boost.CCM ni gari bovu kwa Watanzania.Rais Samiah ni gari bovu.Wewe mwenyewe ni gari bovu.Makonda ni gari bovu.Sabaya ni gari bovu.Kutakapokuwepo na...
Unapobinya upinzani unapata faida gani zaidi ya hasara?Leo tunaomboleza kuondokewa na Rais wa nchi kizembe kwa sababu tu ya kuziba pumzi kwa wapinzani yeye akaondolewa kwenye mfumo kirahisi.
Punguza ujinga ndugu Mkereketwa wa nazi.Enzi za Mkapa mambo yalionekana positively na yaliamsha ari ya watu kupenda Serikali yao.Leo hii ni kitu gani kitasukuma watu wapende serikali yao zaidi ya kuilaumu?
Heri yenu mnaojua maana ya upinzani.Ikiwa upinzani ni kusifu yale yote yale yanayotekelezwa na Serikali basi huo upinzani ni mfu.Jambo moja ujue kuwa ccm hamjawahi kukubali mfumo wa Vyama Vingi kwa vitendo ila ni mashinikizo kutoka kwa mabeberu wanaowapa misaada hivyo mnafanya maigizo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.