Recent content by WALOLA VUNZYA

  1. W

    Wapinzani wamepoteza Mwelekeo? Hawana Sera?

    Nani alaumu kama Serikali inajibu hoja kwa vitendo ?
  2. W

    Wapinzani wamepoteza Mwelekeo? Hawana Sera?

    Gari bovu ni gari bovu tu hata lifike mahali popote lakini gari litaendelea kuwa bovu mpaka lifanyiwe ukarabati na liwekewe spea mpya ili kuli boost.CCM ni gari bovu kwa Watanzania.Rais Samiah ni gari bovu.Wewe mwenyewe ni gari bovu.Makonda ni gari bovu.Sabaya ni gari bovu.Kutakapokuwepo na...
  3. W

    Wapinzani wamepoteza Mwelekeo? Hawana Sera?

    Gari bovu ni gari bovu tu hata lifike mahali popote lakini gari litaendelea kuwa bovu mpaka lifanyiwe ukarabati na liwekewe spea mpya ili kuli boost.CCM ni gari bovu kwa Watanzania.Rais Samiah ni gari bovu.Wewe mwenyewe ni gari bovu.Makonda ni gari bovu.Sabaya ni gari bovu.Kutakapokuwepo na...
  4. W

    Wapinzani wamepoteza Mwelekeo? Hawana Sera?

    Mkuu nilikuwa nawakejeli hao sukuma gang naomba usinielewe vibaya.
  5. W

    Wapinzani wamepoteza Mwelekeo? Hawana Sera?

    Unapobinya upinzani unapata faida gani zaidi ya hasara?Leo tunaomboleza kuondokewa na Rais wa nchi kizembe kwa sababu tu ya kuziba pumzi kwa wapinzani yeye akaondolewa kwenye mfumo kirahisi.
  6. W

    Wapinzani wamepoteza Mwelekeo? Hawana Sera?

    Punguza ujinga ndugu Mkereketwa wa nazi.Enzi za Mkapa mambo yalionekana positively na yaliamsha ari ya watu kupenda Serikali yao.Leo hii ni kitu gani kitasukuma watu wapende serikali yao zaidi ya kuilaumu?
  7. W

    Wapinzani wamepoteza Mwelekeo? Hawana Sera?

    Heri yenu mnaojua maana ya upinzani.Ikiwa upinzani ni kusifu yale yote yale yanayotekelezwa na Serikali basi huo upinzani ni mfu.Jambo moja ujue kuwa ccm hamjawahi kukubali mfumo wa Vyama Vingi kwa vitendo ila ni mashinikizo kutoka kwa mabeberu wanaowapa misaada hivyo mnafanya maigizo ya...
  8. W

    Wapinzani wamepoteza Mwelekeo? Hawana Sera?

    Labda tuwape Makonda au Sabaya ndipo Chadema itaaminika kwa wananchi.
  9. W

    Wapinzani wamepoteza Mwelekeo? Hawana Sera?

    Na bado mpaka mseme po pumbavu zenu.
  10. W

    Wapinzani wamepoteza Mwelekeo? Hawana Sera?

    Maisha magumu yanasababishwa na Wapinzani au serikali yako ya ccm?
Back
Top Bottom