Recent content by WALOLA VUNZYA

  1. W

    Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Watakukamata hao paka wa Samiah kuwa makini mkuu.
  2. W

    Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

    Ndiyo maana Mungu alimwondoa duniani kwa roho yake mbaya ya kumsababishia Tundu Lissu ulemavu kwa makusudi.
  3. W

    Polepole, Sio kila blunder wakati wa utawala wa Magufuli wakalaumiwa mtandao; hii ni kufanya watu ni wajinga na vilaza

    Hapana sisi tunataka sheria za nchi ziheshimiwe kwanza na viongozi waliopo madarakani ili kuleta uwiano sawa kwa Watanzania wote.
  4. W

    Polepole, Sio kila blunder wakati wa utawala wa Magufuli wakalaumiwa mtandao; hii ni kufanya watu ni wajinga na vilaza

    Wanamtandao hawana shida wenye shida ni Watanzania ambao kwao siasa wamewaachia wanawake.
  5. W

    Polepole, Sio kila blunder wakati wa utawala wa Magufuli wakalaumiwa mtandao; hii ni kufanya watu ni wajinga na vilaza

    Yeye kama nani???Mbona waliompiga Tundu Lissu risasi mbunge wa upinzani hawajawahi kamatwa?
  6. W

    Polepole, Sio kila blunder wakati wa utawala wa Magufuli wakalaumiwa mtandao; hii ni kufanya watu ni wajinga na vilaza

    Polepole ni mshirika namba moja wa kuiharibu nchi hii kwa kulazimisha watu waipende ccm iliyojaa majizi na mafisadi.Polepole ni mhuni na hatakiwi kuaminiwa.
  7. W

    R.I.P JPM, i used to hate u but now im even in darker room,I cry bitterly when I see JK,RM,Samia and Abdul.

    Uko sahihi mkuu.Magufuri asifiwe kwenye mambo ya ujenzi na nidhamu kwa wafanyakazi wa umma,lakini mengine aliboronga na akataka kutengeneza Ikulu kijijini kwao Chato.Hayo mambo kwenye jamii iliyostaarabika huwa hayapo kabisa.Kuheshimu ofisi ni jambo la msingi kuliko kupenda penda sifa kutoka kwa...
  8. W

    Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

    Polepole,Magufuri,Bashir Ally,Mwigulu Nchemba na Makonda ndiyo wahusika wakuu kwenye shambulio la Lissu.
Back
Top Bottom