Kuna wagombea wengine hata hizo Fomu za kuomba kuteuliwa hawakuziona ila walitangazwa tu kuwa wamepita bila kupingwa. Kwa kulazimisha na kutagazwa ushidi may be wataweza lakini kutakuwa hakuna mwakilishi wa wananchi atakuwepo tu kama Zombi fulani tu, Mikutano hatakuwa na uwezo wa kuitisha na...
Hata CCM walikukata nafasi ya urais, CHADEMA wamekukataa Kanda awamu ya pili unaondoka, nadhani itakuwa vyema ulivyoamua kumpunzika itakuwa bora ingawa wanasiasa huwa hawaachi wala kususa
Wote njia ni moja tu, tuyafanyao hapa duniani tutayaacha kuwa mbabe, nyonga wenzako fanya kila uwezalo ila mwisho wake ni kifo tu na kuondoka hapa duniani.
Vyama vy siasa vipo kwa mjibu wa sheria iliyoanzisha mfumo wa vyama vingi, sasa waliopo madarakani wanafahamu hasa ni nini wanakifanya kwa wananchi kwa ujumla ikiwa na kuto ruhusu uwanja sawa wa kisiasa maana wanajua wakiruhusu tu, uwezo wa kupokwa madaraka ni rahisi sana maana wanajua kuwa kwa...
Pole pole jibu maswali inavyopaswa kwa afya ya chama chako, mabadiliko katika chama dola lazima yalete impact kwa wananchi wake kwa ajili ya maendeleo siyo maelezo yasiyokuwa na mshiko wowote. Viwanja vyote vya mpira vilivyo vingi vilijengwa na wananchi waliokuwa ccm na wasio wanachama hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.