Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #61
Kamanda karibu Mwanza
Kamanda karibu Mwanza
Hahahahaha kweliMwili wake uko ccm ila moyo kauacha CHADEMA.
Inamuumiza kuwa nje ya CHADEMA
Tatizo lako huandiki hoja unaandika maelezo yasiyohoja.Kamanda usichagulie watu hoja za kuleta nenda kwenye kurasa za akina malisa ili uburudike na uongo hapa ni hoja kwa hoja.
Karibu Mwanza ujioneeTatizo lako huandiki hoja unaandika maelezo yasiyohoja.
Natamani swari hili angeulizwa pia mbowe. Je chadema nichama cha biashara au cha siasa. 2. Je ndani yachadema ninani mwenye hisa nyingi? Na 3. Nikuhusu msemo anaopenda kuutumia ya kuwa sumu haionjwi kwa ulimi maana yake ni nini?
Umepiga utosi hawezi kurudi,wanapenda kusema na kukosoa wengine lakini wao hawataki kukosolewaKama wengine wengi upande huo walivyo mentally sick dhidi ya JPM
SenselessNje ya mada kamanda,kesho usahili ili kuona kama atauweza uenyekiti wa Chadema.
free man who is unfree from germanHuu ujinga sijaulewa! Gwari ni nini? Why mada zako zote ni za Mbowe? Seems the Guy amechukua nafasi kubwa sana kwenye maisha yako! He is a free man!
Sababu ni zipi zilizowafanya waahirishe kususa?Kwasababu walishawahi kususia hapo awali.
Samahani mkuu, una swali lingine?
Kwanini MaCCM roho imewauma sana Chadema kutangaza watahudhuria sherehe za Uhuru????
tatizo la kulala nje kusubiria sherehe za uhuru hapo furahisha ndizo zimemvuruga zaidi bongo... huenda ile homa ipandayo kwenye ubongo imeanza kazi yake...Huyo mtu ana matatizo ya akili unashinda siku nzima unamzungumzia mbowe ,vitu anavyozungumza pumba tu kweli ukinunuliwa simu lazima uposti utakachoambiwa na mwenye simu
Mkuu Kaka Mkubwa Wakudadavua, nimekuvulia kofia!. Kumbe ni kweli, maana amepangwa pale pale kwa ajili ya usaili.Ndugu zangu,
Kada Mbowe sasa kupitia kihunzi kingine kesho jijini Mwanza baada ya gwaride na hafla ya kumbukumbu ya Uhuru wa Tanganyika tarehe 9 Disemba 2019.
Baada ya shamrashamra hizo atakuwa kwenye usaili utakaoongozwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM ndugu Humphrey Polepole, Matokeo ya usaili huu ndio idhini ya mwisho kabla ya kwenda kwenye kupigiwa kura za ndio au hapana.
Kwa haraka haraka maswali yatajikita kwenye maeneo yafuatayo; utekelezaji wa Chadema kwa miaka mitano iliyopita,mikakati ya Chadema miaka mitano ijayo.
Ukiangalia juu juu unaweza kufikiri ni maswali rahisi lakini vipengele vidogo vidogo huenda vikaleta vigugumizi.
Yote kwa yote tunamtakia mafanikio kwani hadi sasa yeye ndiye mwenye uchungu na chama kuliko mwingine yeyote na huenda hili likambeba.
PHappy Independence Day 58View attachment 1286194
hahahaa jomba umevurugwa..wwnaolia ni ccm au chadema wenyewe wale.wafia chama na wengine wa upinzani kama cuf , act wazalendo..umechunguza au umekurupuka.tu kama mwiziKwanini MaCCM roho imewauma sana Chadema kutangaza watahudhuria sherehe za Uhuru????
Mwache afanye Promo kwa MboweUnakera mkuu hata sisi wa CCM wenzio unatukera unampa umaarufu Mbowe bila sababu
Utaelewa tuSenseless
Utaelewa tuSenseless
Utaelewa tuSenseless
Huna hoja wewe kigagula! Mission yako ya kumfitinisha Mbowe imefeli totally na hamtakuwa na njia mbadala ya kuitekeleza! Who is polepole kwa cdm? Achaga ujinga!Ungejibu hoja kamanda