Watanzania bado kuamka, hii biashara ni ya ubia, wazawa wamo kakini tumezoea ubwete, na ndio maana baadhi ya viongizi kwenye kinyang'anyiro cha urais walikua wanasema (watu wasilipe kodi badala yake madini yetu tuwape wazungu ili wawe wanatupa misaada)
Ndivyo rulivyo
Pia umefika wakati sasa viongozi waliokaa madarakani kwa muda mrefu ama kwa kuteuliwa ama kwa kuchaguliwa, kama Tundu Mbowe nk. Wakae pembeni!! wapishe damu changa na mawazo mapya.
Mjuwe vilevile kuwa kuna kuchokwa na wanachama.
Taarifa za mchumi wa BBC za kisiasa tu,
Afahumu kua kuna mizigo mingi sana inayokwanda Uganda, Sudani ya Kusini na Congo ikitokea Mwanza kupitia Ziwa Victoria .
BBC zimejaa propaganda.
Tunasonga mbele tu 'KAZI IENDELEE'
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.