Recent content by Walekese

  1. W

    Watumishi wa Serikali waliopandishwa vyeo 2015/16 sasa kusomeka kuwa wamepanda vyeo tarehe 01 Aprili 2018

    Hakuna kitu, Naona muhimu ni kumwachia Mungu tu, akuna jingine la kufanya. Nilishaingia sana kwenye maombi. Naona nimesha kata tamaa. Nitaendelea kufanya kazi kwa bidii. TUWE WATULIVU. JINA LA BWANA NA LIHIMIDIWE.
  2. W

    Askofu Stephen Munga (PhD): Tunahitaji umoja wa dhati wa kitaifa, Rais wetu tufikishe kwenye umoja wa kitaifa

    Leo nimewahi kiti cha mbele. "MUNGU IBARIKI TANZANIA. MUNGU IBARIKI AFRIKA. MUNGU BARIKI DUNIA NA JINA LAKO DAIMA LITUKUZWE"
  3. W

    Watumishi wa Serikali waliopandishwa vyeo 2015/16 sasa kusomeka kuwa wamepanda vyeo tarehe 01 Aprili 2018

    Yaani najizuia hadi nashindwa. "MUNGU ATUPE NGUVU NA KUTUFARIJI" Hivi ni kweli au?. Siamini ninayo yasoma hapo juu. Mh. Rais anayeshikilia Nchi hii atatusaidia. Ni mwezi huu wa nne tutalipwa haki zetu zote na tutakuwa na amani.
  4. W

    Watumishi wa Serikali waliopandishwa vyeo 2015/16 sasa kusomeka kuwa wamepanda vyeo tarehe 01 Aprili 2018

    Mimi naamini kuwa atatulipa madeni yote (ya miaka yote)mwezi huu wa nne (22/04/2018). Nina imani kuwa tutalipwa wote. Suala la uhakiki lilianza zamani na ninaamini kuwa lilisha kamilika.
  5. W

    Mbwembwe za Serikali kulipa madeni ya watumishi ilikuwa ni igizo?

    Vyama vya wafanyakazi vinavyo tutetea sijui vina taarifa gani?
  6. W

    Mbwembwe za Serikali kulipa madeni ya watumishi ilikuwa ni igizo?

    Mh. Rais alisema alishazitenga na kutaja kiasi kikubwa.
  7. W

    Mbwembwe za Serikali kulipa madeni ya watumishi ilikuwa ni igizo?

    Mh. Raisi alipotamka nilikuwa na imani kubwa. Ni kuwachia MUNGU tu. Ukweli kwa watu wa MUNGU ni muhimu.
  8. W

    Wakili Kambole: Abdul Nondo hayupo vituo vyote vya Polisi

    Narudia. Ni vema ukajenga UPENDO kuliko chuki. Sasa kama dini inafundisha kitafauti nakushauri utoke huko kwani ni sehemu ya wafu wa kiroho. Ndio maana kuna chuki, uongo, matusi .... Mimi sina chama na siko chama chochote. Ni mpenda amani na ni Mtu wa Mungu. Ukweli sasa mmeshaanza kuleta siasa...
  9. W

    Wakili Kambole: Abdul Nondo hayupo vituo vyote vya Polisi

    Mimi siko kwenye chama chochote. Ila nampenda MUNGU na sio shetani. Shetani ni baba wa chuki, uongo na mauaji ....matusi...usodoma ..... Sasa wewe upo wapi?
  10. W

    Wakili Kambole: Abdul Nondo hayupo vituo vyote vya Polisi

    Hili la kujiteka ni moja ya dalili kuwa hata kukiwa na maandamano nadhani kuna watakao jiua au kuua watu ili tudhani kuwa ni Mh. MAGUFULI kahusika, kumbe sio. Na watakuwa na haki ya kupata Mawakili hata toka nje. Siasa imefika pabaya sana. Ni siasa ya chuki na vituko vya hatari kwa Taifa na...
  11. W

    Malipo ya madeni kwa watumishi wa Umma kwa mwezi wa tatu

    Tunazihitaji pesa hizi. Hali ya maisha hasa kwangu mimi ni ngumu sana. Naendelea kutumbukia hadi najiona napoteza imani.
  12. W

    Malipo ya madeni kwa watumishi wa Umma kwa mwezi wa tatu

    Bado hatujalipwa na hadi sasa hatuna uhakika kuwa tutapata lini?
  13. W

    Malipo ya madeni kwa watumishi wa Umma kwa mwezi wa tatu

    Kesho no Jumapili ya tarehe 19/03/2018. Hima tuwe pamoja kuombeana. Tumshirikishe MUNGU kwenye huu ugumu kuwe laini na tupate malipo ya pesa. Ni MUNGU TU NDIYE MWENYE UFUMBUZI. TUNAAMINI KUWA MAANDAMANO HAYATAKUWA NA TIJA NA YANAWEZA KULETA MISIBA. Nawasilisha kwa maombi ya kesho huko Makanisani.
  14. W

    Kimenuka Rukwa: Waislam watangaza kutokuwa na imani na Rais Magufuli kutokana na hujuma wanazofanyiwa

    Mkikinukisha ni nani ataumia?. Chuki au kupanga fujo sio vema. Ni vema kupanda UPENDO na sio CHUKI. Wakristo na Waislam ni ndugu na wanapendana sana. Wenye chuki sio Waislamu, wenye chuki sio Wakristo. WATANZANIA TUENDELEE NA KUPENDANA.
Back
Top Bottom