Kwa weekend hii, burudani za kawaida tu zitaendelea katika viwanja vifuatavyo:
1. Cask kwa wale wapenda disco na sehemu ya wazi.
2. Diamond, hapa kwa wale wapenda mziki wa kukaa zaidi.
3. Maduhu_Square_Garden, hiki ni kiwanja kipya kwa watu wastaarabu na wenye familia zao, kipo mtaa wa Uhuru.
Wadau pokeeni salaam kutoka Mwanza,
Huu uzi utakuwa mahususi kwa taarifa mbalimbali kwa wala bata walioko Mwanza hata wageni, unaruhusiwa kuuliza taarifa yoyote itakayokufanya ule bata na kufurahia neema za Mungu zinazopatikana katika jiji hili tamu na zuri.
Karibuni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.