CDM na nyie msiwe kama hamna "elimu ya ushirika" hapa wengi hawataelewa, ila nyie fanyeni hamjui lolote na mshirikiane nao. kuleni na kipofu basi cyo kilakitu mnaleta upnzani tu. Kwan mkishiriki mtapungukiwa wafuasi, you have to be optimists la cyo ndo mtapoteza iman ya wafuasi wenu kwa vitu...
yan kweli viongoz wetu ni shiiiiida, hiv hata kama document zao zinawadanganya juu ya ufanic wa mashine zao za BVR, hawawez hata kusoma picha na kuona uhalisia wa zoez hilo kwa kuoanisha tarehe ya kupga kura namaendeleo ya uandikishaji, what a shame.....
The plot to kill Dr. W. Slaa reminds me of the 'Watergate scandal' in U.S.A. Nchi imesahau kuwa tanzania imekuwa kitechnologia na upeo wa watu wake walioelimika umeongezeka. Vyama vyetu vimekuwa na uelwa wa kimikakati hivyo c rahisi kudukuliwa kama nyakati za nyuma hivyo ni muhimu kwa chama...
Nimesikia baadhi ya watu wakisema kuwa Kidoletumbo hakina umuhimu ndani ya mwili wa binadamu zaidi sana ni matatizo tu pale kinapojaa mchanga na mawe, na hata kusababisha kifo kikipasuka ndani ya tumbo.
Je hii ni kweli? Na ina maana Mungu aliyetuumba wakamilifu kakiweka cha nini?
Serikali iliyo na uongozi makini lzma siku zote ijifunze kutoka kwa 'events' mbalimbali zitokeazo iwe kwa uzuri ama kwa ubaya.
Hainiingii akilini kwamba vijana hawa walokula kiapo watake kuandamana bila kuwa na 'course' ni kwa mantiki hyo nauliza nini umakini wa serikali yetu hii sikivu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.