Recent content by Wakuacha

  1. Wakuacha

    Aisha alipigwa, kuvuliwa nguo zote na Kurekodiwa, Na kwamba akisema kwamba alitekwa Picha zake zitavujishwa Mitandaoni na kumuua

    Huyu mama kama anatudanganya haya ni Maigizo, yaani mtu upewe kipigo cha Nguvu leo uitishe press, uongee kwa namna ile, Chadema acheni drama hili igizo lenu mmfail..
  2. Wakuacha

    Nilikutana na mwanamke, kwenye uume kumekuwa na hali ya usaa

    Wakuu nashukuruni kwa ushauri wenu?, mambo yako vizuri nilipata mawazo ya ghafra nimekoma kudumbukiza dumbukiza ovyo, .
  3. Wakuacha

    Nilikutana na mwanamke, kwenye uume kumekuwa na hali ya usaa

    Hasara kubwa sana kaka, nipe uzoefu kaka nifanyaje na mimi uache kutoka.
  4. Wakuacha

    Nilikutana na mwanamke, kwenye uume kumekuwa na hali ya usaa

    Tatizo ni pale unafuta vizuri, na kutia dawa baada ya muda inarudi ngozi ya mfumo ule ule.. hapa ndo pananichanganya Kaka.
  5. Wakuacha

    Nilikutana na mwanamke, kwenye uume kumekuwa na hali ya usaa

    Sina namna ishatokea, cha msingi ni kupambana nipone then madem sitaki tena.
  6. Wakuacha

    Nilikutana na mwanamke, kwenye uume kumekuwa na hali ya usaa

    Sawa ngoja leo mpaka jioni ni cheki ili dawa niipotezee kwanza nibaki nasikilizia.
  7. Wakuacha

    Nilikutana na mwanamke, kwenye uume kumekuwa na hali ya usaa

    Habari Wadau, kama wasemavyo mficha maradhi kifo humuumbua, kwa namna moja huenda kuna mtu ashawahi kupitia changamoto kama hii anaweza nipa ushauri? Nilikutana na mwanamke baadae nikasikia hali ya muwasho, katika uume wangu nikaenda dukani nikanunua Azuma nikanywa, ila baadae kwenye kichwa...
Back
Top Bottom