Mufumo tulionao hauendani na maisha ya watanzania badara yakufanya marekebisho hapa munakimbilia lugha yakiswahili.
Madaraka ya kuanzia la Kwanza mpaka kidato cha Sita si lazima! Tunakiwa kumuandaa kijana kuingia “work force “akiwa ameliza degree yakwanza na umri mdogo ili aweze kufanya kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.