Recent content by Wakabambee58

  1. W

    Rolls Royce, Aston Martin na Lamborghini kwa barabara zipi?

    kuna story ya zamani kidogo. Mtu mmoja alisema nyumbani kwao 20' ctnr imejazwa mmarekani mtupu. Naona kama zinaanza kuzunguka sasa.
  2. W

    Polepole anapotosha sana, Magufuli wakati akiwa Chato, tayari alikuwa hayupo sawa kiafya

    Kenge akikuambia mamba kalala muamini maana wote wanaishi majini. Pole pole alikuwa karibu saana na mwendazake kulingana na anayosema.
  3. W

    GE2025 Rais Samia: Dodoma, tumejenga kiwanda kikubwa cha ITRACOM chenye uwezo wa kuzalisha tani 1,000,000 za mbolea kwa mwaka

    Mwandishi sahihisha maandiko yako. Tani millioni moja siyo mchezo. Hiyo Tanzania fertllizer co ltd chini ya wajerumani haitufikia hizo tani kwa mwaka bwashee.
  4. W

    GE2025 Mgombea Ubunge Jimbo la Itilima kupitia ACT: Nilizuiwa kurejesha fomu na Msimamizi wa Uchaguzi "Alikuwa radhi tuzichape"

    Hapo ni asubuhi tu mchana bado na alasiri bado. Mzee wa kulinda kura sijui yuko wapi!!!
  5. W

    GE2025 CHAUMMA yamjibu Polepole madai ya kutumika na CCM

    Obama aliwahi sema kuwa amekaa white house vipindi viwili lakini kuna vyumba hakuruhusiwa kuingia. Hivyo huyu mama asubiri nje sinia la ubweche tuu.mnunuzi wa mchele anajua hela zinatoka wapi.
  6. W

    GE2025 Polepole: Agosti 29, 2025 nitafafanua mambo kuhusu Kifo cha Magufuli; Rostam na Kikwete, Kashfa mbalimbali, deni la Taifa na wezi wanakoficha pesa

    🤣🤣🤣🤣🤣 pale changombe darajani basi kubwa za mbagala mbili niliziona zimesheheni wakalia matofali nyingine mbili Indira Ghand street.
  7. W

    Kama ulimsikia Humphrey Polepole na ukiona Picha hizi Unakumbuka nini?

    Hivi January na wenzake hawawezi buruzwa kwa pilato?
  8. W

    Tetesi: Namna ambavyo anayesemekana kuwa Mtoto wa Rais Samia alivyompita Trafiki Polisi kwa dharau

    La umenikumbusha kitambo saana pale airport cargo . Yule mtu kaja na demu wake kuchukua mzigo wake na yupo chakali. Wale jangu wa pale mmoja switch imekata akamfuata kupekua kilichomo. Tulishitukia tu wehani sauti kali wote tukasambaa.
  9. W

    Mali za mtoto wa Rais, Abdul Hassan zimeandikwa kwa Majina ya China Xiping yang Chan Tc Milestone Ltd. Kampuni ya Kichina iliyopo Tanzania

    Nasubiri comments toka wamiliki wa baiskeli na pikipiki zilizopigwa range ya orange.
  10. W

    Mafufu: Polepole ni mtu wa kupuuzwa lakini pia ni muhalifu kama wahalifu wengine

    Je anajua anachozungumzia? Pili yeye na HP nami alikuwa karibu na meza ya malkia. KENGE AKIKWAMBIA KUWA MAMBA AMELALA AMINI KWA SABABU WOTE WANAISHI MAJINI.
  11. W

    Wana CCM wenzangu tutulieni kwanza tupewe Mwongozo namna ya kumjibu Polepole. Tunaruka na kukanyagana wenyewe

    Afadhali ya wewe umesema ukweli ndani ya roho kuwa HP kasema ya ukweli mtupu. Kujitoa hapo ni viongozi wako wa chama kuwaambia IT wenu waachane na link hizo chini ya usimamizi wa watanganyika wote. Na ile kambi iliyoko hapo mlimani city ivunjwe mara moja.
Back
Top Bottom