Habari za majukumu wapendwa
Nina eneo langu mwenyewe nahitaji mnunuzi lina heka 3 kwa bei 3.5m lipo njia ya morogoro kutokea bagamoyo kijiji cha mkenge mbele ya fukayosi
Eneo lina hati ya mauziano linatambulika na serikali za mtaa. Pleas kama upo interested unaweza ukanicheki kwenye namba...
Nenda kwa doctor mandali ulongoni pale kajielezee kuna dawa kichupa chake kuna mti wenye majani mengi ukifungua ndani unga wake wa brown katumie hiyo itakusaidia ,thrust me
Habari wapendwa nahitaji mnunuzi mwenye kujua thaman ya uwekezaji Nauza place yangu heka 3.
Location: njia ya bagamoyo mkenge
Document: Zipo na linatambulika na serikali ya kijiji
Nilinunua 2019 Nauza nimeshindwa kufanya chochote kutokana nipo mbali napo.
WhatsApp 0715160365
Call 0747464694
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.