Recent content by waghetto

  1. W

    JamiiForums Tanzania Kwa wenye ujuzi na XBINARY

    Luna utapeli mwingi kwenye online businesses. Kayla hujajiunga Tanya utafiti wa kutosha, pamoja na lini hiyo business imeanzishwa, na faida inayotolewa. Ukiona faida ni kubwa, kaa mbali nayo. Nyingi zinakuwa zile zinazoitwa "Ponzi schemes"
  2. W

    JamiiForums Tanzania UTAPELI: Kampuni ya D9 (DNINE) ni kina nani? Nani kawapa kibali cha kazi Tanzania?

    Onecoin is another crypto currency ambayo ni centralised tofauti na bitcoin ambayo ni decentralised. Hata hivyo, onecoin bado haijaanza kutrade public until possibly April 2018. Kwa sasa kinachofanyika ni ku create demand. Uki invest now, uwe tayari kusubiri hadi 2018. Onecoin imeanzishwa na Dr...
Back
Top Bottom