Recent content by wadyner

  1. wadyner

    Msaada kuhusu mkopo wa elimu yajuu

    Unalipia 25% ya mkopo wako ulotumia den unafanya application upya.... Kwenye kupata apo bahati nasibu lolote laweza kutokea
  2. wadyner

    Location tcu

    Zipo pale wizara ya elimu magogoni karbu na ikulu
  3. wadyner

    Kwa wale waliokosa mkopo awamu ya kwanza

    Jaman msikate tamaa mapema majina bado mengine yatatoka kikubwa kua na subra kila mtu amuombe Mungu wake kwa Imani yake lolote laweza tokea[emoji120][emoji120]ila hiki kipindi kinakuaga kigumu haswa kwa ss watoto wa wakulima.... Nawatikieni kila la kheri wadogo zangu
  4. wadyner

    MSAADA KUHUSU MKOPO HELSB

    Check mi pm nkupe mchongo
  5. wadyner

    Loan Board pasua kichwa

    Hahaha mkuu umenkmbsha mi pia muhanga wa loanboard ctakaa nisahau.kwanza nliaply nkafata taratibu zote nkatuma fomu badae jina likaja kutoka fomu haina cheti cha kuzaliwa na nlituma vyote nkaona isiwe shida nkawatumia tena Sasa cku ya kuzituma nlipata dharura kdg so na zoezi la kutuma likaishia...
  6. wadyner

    Special Thread: Kwa waombaji wote wa mikopo kupitia HESLB 2018/2019

    unalipia 25%den utaapply upya mkopo na baada ya kulipia kuna barua utapewa utaambatanisha kwenye fomu yako wakat wa kutuma...ila kwenye kuja kupata n kumuomba Mungu maana lolote laweza kutokea....
Back
Top Bottom