Recent content by Wachokonozi

  1. Wachokonozi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya kupewa heshima ya umakamo mwenyekiti. Nitakua mchoyo wa fadhira nisipotia neno kuhusu KATAA NDOA

    Hahahah, hapo nakupata sana mkuu. Kumbe uchawi ni kule kisaini ule mkataba wa ndoa, siwezi kufanya huo ujinga. KATAA NDOA👊
  2. Wachokonozi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku nikimuoa mke wangu

    Nawaza je siku hiyo mke WANGU atajua sijaoa jinsia yake ya kike Wala hajaolewa na umbile langu la kiume? Je atajua umri wangu na wake si kiini chetu, Wala uzuri wake si nguzo yangu ya kudumu? Siku nikimuoa mke wangu sitamvika pete kwanza, nitamvika maswali. Kwasababu ndoa si sherehe ya kupiga...
  3. Wachokonozi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ngoja nichukue maandazi.
  4. Wachokonozi

    JamiiForums Tanzania Jinsi Watanzania Wanavyoichukulia AI (Akili Mnemba) na Madhara Yake

    Hahah aliyetuletea elimu ndiye katuletea na hiyo Al sasa shida iko wapi??
  5. Wachokonozi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba ushauri ndugu zangu

    Sisi hoja yetu ni ileile, MAPENZI YAFUTWE.
  6. Wachokonozi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemuacha kwa sababu hataki kunizalia

    🔥🔥🔥
  7. Wachokonozi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemuacha kwa sababu hataki kunizalia

    Kwanini unahitaji kuzaa mkuu, nimeona kama lengo ni akuzalie mtoto wa kike ili ujipatie ng'ombe wako 50 basi utakuwepo umefeli parefu sana. Kaa fikiria ujue kwanza ni kwanini unataka ulete mtoto, ama unaleta mtoto na falsafa ipi nadhani angekudhalia tu huyo mwanamke. Anyway, Upone.
  8. Wachokonozi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kila mwanamke aliyeolewa ana mwanaume mmoja anayempenda zaidi ya mume wake .

    Binafsi mwanamke hata awe na mwanaume mwingine anayempenda mimi sina shida, kikubwa tuelewane mimi na yeye. Ila siku nikimfuma na huyo mwanaume talaka 3 hapohapo *****. Anyway, KATAA NDOA.
Back
Top Bottom