Recent content by Wabasi mwakaje

  1. Wabasi mwakaje

    Simu yangu haisomi baadhi ya line

    Tatizo kama hilo huwa linatokana na ku update simu kila mara pia linatokana na virus kushambulia network file. Hii hupelekea simu kuanza kuleta shida mbalimbali za mtandao ikiwa ni pamoja na ceureler networks na internet. Jaribu ku update system software kwenye settings na kama tatizo...
  2. Wabasi mwakaje

    Ajali mbaya sana imetokea uhasibu (Februari 2, 2023)

    Duh [emoji849][emoji22][emoji22]
  3. Wabasi mwakaje

    Dar: Kuna Tatizo la watu Homa na Mafua, Wizara ya Afya ipo kimyaa..

    Jua lililowaka mwezi wa Novemba lilikuwa kali sana kwaio haya ndio madhara yake ila waliokuwa wanakunywa maji mengi hawajapa tabu kama hiyo pia kungekuwa na mlipuko wa ugonjwa tungejulishwa na vyombo husika tuwe wavumilivu pia tumuombe Mungu.
Back
Top Bottom